Jeremiah 12:4


4 aJe, nchi itakaa katika hali ya kuomboleza mpaka lini,
na majani katika kila shamba kunyauka?
Kwa sababu wale waishio ndani yake ni waovu,
wanyama na ndege wameangamia.
Zaidi ya hayo, watu wanasema,
Bwana hataona yatakayotupata sisi.”
Copyright information for SwhKC